Proverbs 6:6-8


6 aEwe mvivu, mwendee mchwa;
zitafakari njia zake ukapate hekima!
7Kwa maana yeye hana msimamizi,
wala mwangalizi, au mtawala,
8 blakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi
na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Copyright information for SwhNEN